Header Ads

Header ADS

MWANAMKE KUFUNIKA USO WAKE KWENYE SWALA

 ✹•━━━✿🍃🌸🍃✿━━━•✹

*🥀MWANAMKE KUFUNIKA USO WAKE KWENYE SWALA AKIWA MBELE YA WANAUME🥀*


*↪️Aliulizwa Sheikh ibn Baaz (rahimahullah):*



*SWALI:*⬇️


*JE* yafaa kwa mwanamke kuswali hali akiwa amevaa *NIQAAB* au ninja ama ataivua na kuweka kitu kingine afunike *uso wake kamili akiwa anaswali mahali penye wanaume?* 



*↪️SHEIKH Akajibu:*


الواجب عليها ستر وجهها بخمار *أو غيره، إذا كان عندها أجانب، أجنبي ليس محرماً لها تصلي مع ستر الوجه بخمار أو نقاب أو غيرهما، وأما إذا كان ما عندها أحد فالسنة أن تكشف وجهها، نعم.*


Wajibu kwake ni ausitiri uso wake kwa mtandio au mfano wake akiwa yuko penye *wanaume ajnabi.* Mwanaume ajnabi ambaye si mahram yake; ataswali hali ya kuwa *ameusitiri uso kwa mtandio au NIQAAB au mfano wa hizo*. 


*Na iwapo hamna yeyote hapo alipo, basi Sunna ni asiufunike uso wake. Naam*.


WASAMBAZAJI

QURAN NA SUNNAH TZ 

WHATSAPP NO +255713849566 


TEMBELEA KWENYE MITANDAO KWA MASOMO MENGINE ZAIDI👇🏾


websites.

http://qurannasunnahtz.blogspot.com/


Facebook page.

https://m.facebook.com/Quran-na-sunnah-tz-100238655597178/?ref=bookmarks


Instagram.

http://www.instagram.com/qurannasunnah


Whatsapp.

https://chat.whatsapp.com/FfEoBrL4bmr0vbNQhNPKFE


telegram.

https://t.me/joinchat/3WW1yKOS9-MzN2Zk



 



 

No comments

Powered by Blogger.