Header Ads

Header ADS

NASAHA ZA USIKU

 ═════🍃🌹🍃═════

  🌹NASAHA ZA USIKU🌹


        ⏬⏬⏬⏬


🌗 *KUPIGA HODI* 


-• Uislamu umetufunza adabu tunapokwenda katika majumba ya watu na tunapaswa kupiga hodi nasio tunaingia tu kwani Allah anasema : 


يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَدْخُلُوا بُيُوتًا غَيْرَ بُيُوتِكُمْ حَتَّىٰ تَسْتَأْنِسُوا وَتُسَلِّمُوا عَلَىٰ أَهْلِهَا ۚ ذَٰلِكُمْ خَيْرٌ 

_لَّكُمْ لَعَلَّكُمْ تَذَكَّرُونَ


*Enyi mlio amini! Msiingie nyumba zisio nyumba zenu mpaka mwombe ruhusa, na mwatolee salamu wenyewe. Hayo ni bora kwenu mpate kukumbuka.*


*Na msip o mkuta mtu humo basi msiingie mpaka mruhusiwe. Na mkiambiwa: Rudini! Basi rudini. Hivi ni usafi zaidi kwenu. Na Allah anajua mnayo yatenda.*


-> Kwaio Tunapokwenda katika majumba ya watu kwanza tunatakiwa tubishe hodi , tuwatolee salamu tutakao wakuta na kama wakati unabisha hodi ukaulizwa *Wewe nani*?? Unatakiwa utaje jina lako nasio kusema *MIMI* 


*Allah ndo mjuzi zaidi*


QURAN NA SUNNAH TZ 

WHATSAPP NO +255713849566 


TEMBELEA KWENYE MITANDAO KWA MASOMO MENGINE ZAIDI👇🏾


websites.

http://qurannasunnahtz.blogspot.com/


Facebook page.

https://m.facebook.com/Quran-na-sunnah-tz-100238655597178/?ref=bookmarks


Instagram.

http://www.instagram.com/qurannasunnah


Whatsapp.

https://chat.whatsapp.com/FfEoBrL4bmr0vbNQhNPKFE


telegram.

https://t.me/joinchat/3WW1yKOS9-MzN2Zk


YouTube

http://m.youtube.com/channel/UC1i0tOe8KZP7L0-rOisIb2A



 

No comments

Powered by Blogger.