Header Ads

Header ADS

NDOA SEHEMU YA 21

 

*A'ssalam Alaykum Wa RahmatuLLAH Wa Barakaatuh*

🛑.      *ADABU ZA MAISHA*
🛑
        *YA NDOA - آداب الحياة الزّوجية*

```SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA```

============🔹🔷🔹
============

*7⃣Kujua Fiqhi ya Wanawake - الإلمام بفقه النسا*

     💘 Ni kitu kinachopendeza kwa mume kujua na kufahamu au hata kujifunza hukumu za ki-Fiqh zinazohusiana na wanawake, kwa khofu ya kutoangukia katika haramu, na amfundishe mkewe kama *hafahamu hukumu za twahara na Swalah na hedhi…*

Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) Anasema:

يا أيها الذين آمنوا قوا أنفسكم وأهليكم نارا وقودها الناس والحجارة

*“ Enyi mlioamini! Jiokoeni Nafsi zenu na watu wenu, na moto ambao kuni zake ni watu na mawe…” (At-Tahrym: 6)*

Na ikitokea mwanamke hafahamu hukumu hizi za ki-Fiqh, au mumewe hakuweza kumfundisha ni juu yake kuwauliza *Ahlu-Dhikri (wenye ujuzi)* katika mabaraza ya ki-elimu yanayo jihusisha na wanawake.


Mtume (Swalla Llaahu 'alayhi wa sallam) amesema:

نعم  نساء الأنصار لم يمنعهنّ الحياء أن يتفقّهن في الدّين

*“Wabora wa wanawake ni wanawake wa ki-Answaar ambao haikuwazuia haya katika kujifunza mambo ya Dini.” (Al-Bukhaariy na Muslim)*

Itaendelea In Shaa Allah

*NDOA KATIKA UISLAM*
📗〽〽〽〽〽〽〽〽〽📗

QURAN NA SUNNAH TZ
WHATSAPP NO +255713849566

TEMBELEA KWENYE MITANDAO KWA MASOMO MENGINE ZAIDI👇🏾

websites.
http://qurannasunnahtz.blogspot.com/

Facebook page.
https://m.facebook.com/Quran-na-sunnah-tz-100238655597178/?ref=bookmarks

Instagram.
http://www.instagram.com/qurannasunnah

Whatsapp.
https://chat.whatsapp.com/FfEoBrL4bmr0vbNQhNPKFE

telegram.
https://t.me/joinchat/3WW1yKOS9-MzN2Zk

YouTube
http://m.youtube.com/channel/UC1i0tOe8KZP7L0-rOisIb2A

 

No comments

Powered by Blogger.