Header Ads

Header ADS

ZAKAH SEHEMU YA 38

 

Assalam Alaykum Wa RahamatuLLAH WA Barakatuh

*KUTOA ZAKAH*

=======🔹🔷🔹
=======

_SEHEMU YA THALATHINI NA NANE_

*Kuinunua Zakaah*

```Mtume (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam) amekataza mtu kuinunua Zakaah yake.

Kutoka kwa ‘Abdullaah bin ‘Umar (Radhiya Llaahu ‘anhu), amesema:

"‘Umar (Radhiya Llaahu ‘anhu) alimtoa farasi wake Swadaqah fiy sabiyli Llaah, kisha akamkuta farasi huyo anauzwa na akataka kumnunua. Akamuuliza Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam) juu ya jambo hilo, akamwambia:

"Usimnunue na wala usirudie (kutaka kuimiliki tena) Swadaqah yako"

Al-Bukhaariy, Muslim na wengineo

Baadhi ya maulamaa wakasema kuwa kukataza huko ni kwa ajili ya kujiepusha tu, na si kwa ajili ya kuharamisha, wakiegemea Hadiyth nyingine inayoruhusu mtu kuipokea Swadaqah yake kama zawadi itokayo kwa masikini aliyempa.```

 Itaendelea In shaa Allah

*+97433799776*
*RAUDHWATUL ILM*

*UNGANA NASI KUPITIA TELEGRAM BONYEZA LINK IFUATAYO⤵*

https://t.me/joinchat/AAAAAEiWeE_WKW4ORQxRzw

QURAN NA SUNNAH TZ
WHATSAPP NO +255713849566

TEMBELEA KWENYE MITANDAO KWA MASOMO MENGINE ZAIDI👇🏾

websites.
http://qurannasunnahtz.blogspot.com/

Facebook page.
https://m.facebook.com/Quran-na-sunnah-tz-100238655597178/?ref=bookmarks

Instagram.
http://www.instagram.com/qurannasunnah

Whatsapp.
https://chat.whatsapp.com/FfEoBrL4bmr0vbNQhNPKFE

telegram.
https://t.me/joinchat/3WW1yKOS9-MzN2Zk

YouTube
http://m.youtube.com/channel/UC1i0tOe8KZP7L0-rOisIb2A

 

No comments

Powered by Blogger.