Header Ads

Header ADS

MSHENGA

 ═════🍃🌹🍃═════

 Swali

Mara nyingi posa inanasibishwa na mshenga, vipi huyu mshenga yupo kisheria na kama yupo nani anatakiwa awe mshenga wako?


📝JIBU📝


Mshenga ni msamiati tu lakini mshenga maana yake ni yule anaepeleka taarifa ya posa 


Na mtu hata yeye mwenyewe anaweza kumwambia walii wa mwanamke kuwa nataka kuoa au kumuoa binti yako 


Au wazee wa mwanamke wakawa ni washenga kwa mtoto wao , kumwambia mwanamme muoe binti yetu 


Kwaio hakuna mtu maalum ambae amewekwa kisheria kwa kazi hio 


Ila mtu yoyote yule ambae ni mcha mungu na mwenye Tabia nzuri basi anafaa kuwa mshenga wako : maana yeye ndio kioo chako wewe 


Kama utachukua wahuni au walevi kuwa ndio washenga wako basi familia ya w'ke itaanza kukutafsiri vibaya 


Kwaio : ili kukuza udugu katika famili basi yoyote alie mwema na mcha mungu anaweza kwenda kukuposea 


Au sheikh au mtu anaekubalika katika jamii kutokana na Tabia zake nzuri basi unaweza kumtuma akakupelekee posa na Allah ndie mjuzi


*☎+97433799776*

*NDOA KATIKA UISLAM*

https://t.me/joinchat/AAAAAEyebkF4FS9BJV3hkA═════🍃🌹🍃═════

 Swali

Mara nyingi posa inanasibishwa na mshenga, vipi huyu mshenga yupo kisheria na kama yupo nani anatakiwa awe mshenga wako?


📝JIBU📝


Mshenga ni msamiati tu lakini mshenga maana yake ni yule anaepeleka taarifa ya posa 


Na mtu hata yeye mwenyewe anaweza kumwambia walii wa mwanamke kuwa nataka kuoa au kumuoa binti yako 


Au wazee wa mwanamke wakawa ni washenga kwa mtoto wao , kumwambia mwanamme muoe binti yetu 


Kwaio hakuna mtu maalum ambae amewekwa kisheria kwa kazi hio 


Ila mtu yoyote yule ambae ni mcha mungu na mwenye Tabia nzuri basi anafaa kuwa mshenga wako : maana yeye ndio kioo chako wewe 


Kama utachukua wahuni au walevi kuwa ndio washenga wako basi familia ya w'ke itaanza kukutafsiri vibaya 


Kwaio : ili kukuza udugu katika famili basi yoyote alie mwema na mcha mungu anaweza kwenda kukuposea 


Au sheikh au mtu anaekubalika katika jamii kutokana na Tabia zake nzuri basi unaweza kumtuma akakupelekee posa na Allah ndie mjuzi


MTARISHAJI

SHEKH TAMBO   WHATSAPP NO+97433799776


WASAMBAZAJI

QURAN NA SUNNAH TZ BLOGSPOT

WHATSAPP NO +255713849566 


TEMBLEA BLOGGER YETU KWA KUSOMA DARASA ZETU ZAIDI

 http://qurannasunnahtz.blogspot.com/

No comments

Powered by Blogger.