Header Ads

Header ADS

SWALA YA EID SEHEMU 5

 

5⃣ *IMAMU AKISAHAU KULETA ZILE TAKBIRA*

✍ kawaida mazowea yana tabu na Imamu nae Ni Binaadamu , anaweza akasahau kuleta zile takbira

✍ Bimaana anaanza kuleta takbira yakuhirimia swala , kisha anaanza moja kwa moja kusoma suratul fat-ha (kwa kusahau )

☝ Ikitokezea hivyo basi lililobora aendelee na swala yake na asirudi katika takbira zile takbira kama vile mtu akisahau dua yakufungulia swala

*REJEA*

الجامع في فقه ابن باز ( ٣٦٥)

6⃣ *DUA YA ISTIFTAH*

➡ Kawaida katika swala za faradhi , baada yakuleta takbira yakuhirimia swala ndipo tu naanza kusoma dua ya istiftah Kabla yakuanza kusoma suratul fat-ha

➡ Ama katika swala ya eid , kuna Ikhtilaf za wanavyuoni Lakini wanavyuoni Wengi wameenda kuwa unatakiwa ulete dua hio baada yakumaliza takbira ile ya mwanzo (yakuhirimia swala)

✍ Ingawa wapo baadhi Walosema kuwa unaweza ukaileta baada ya takbira ya mwisho katika zile takbira za eid

*REJEA*

مجموع فتاوى ، ابن العثيمين

المجلد السادس عشر

Inaendelea

*+97433799776*
*RAUDHWATUL ILM*

QURAN NA SUNNAH TZ
WHATSAPP NO +255713849566

TEMBELEA KWENYE MITANDAO KWA MASOMO MENGINE ZAIDI👇🏾

websites.
http://qurannasunnahtz.blogspot.com/

Facebook page.
https://m.facebook.com/Quran-na-sunnah-tz-100238655597178/?ref=bookmarks

Instagram.
http://www.instagram.com/qurannasunnah

Whatsapp.
https://chat.whatsapp.com/FfEoBrL4bmr0vbNQhNPKFE

telegram.
https://t.me/joinchat/3WW1yKOS9-MzN2Zk

YouTube
http://m.youtube.com/channel/UC1i0tOe8KZP7L0-rOisIb2A

 

No comments

Powered by Blogger.