Header Ads

Header ADS

SWALA YA EID SEHEMU YA 11

 

1⃣1⃣ *KUINUA MIKONO KATIKA SWALA YA EID*

✍ Ukiachilia Takbiratul Ihram , ambayo zipo dalili na tumezowea kuinua mikono katika takbira hio

✍ Lakini swala ya eid huwa na takbira za ziada , Sasa je hizi piatunaruhusika kuinua mikono ?

🍃 Kuna khitilaf :

☝Lakini kwa Ufupi mtu anaweza akainua mikono pia katika takbira hizo nyengine za swala ya eid kwa kupokelewa Athari kutoka kwa maswahaba JUU ya hilo

✍Kwaio hakuna tatizo mtu akiinua mikono na Allah ndie mjuzi

*REJEA*

شرح الممتع : ٥/١٨٢

سنن البيهقي، صلاة العيدى ، باب رفع اليدين في تكبر العيد : ٣/٤٩٣

*MWISHO*

✍ mpaka hapo tumefikia mwisho wa Darsa hio kuhusu swala ya eid

✍ Tulipokpsea mtatusameh Kwani hakuna mkamilifu na mwenye elimu ya mambo yote zaid ya Allah

*الله اعلم*

Allah anajua zaidi

*+97433799776*
*RAUDHWATUL ILM*

QURAN NA SUNNAH TZ
WHATSAPP NO +255713849566

SWALI NA JIBU

SHEKH YUSUF MUHAMAD
                 _حفظه الله ورعاه._
*Tafadhali wasambazie wenzako upate ujira wa kusambaza*.

TEMBELEA KWENYE MITANDAO KWA MASOMO MENGINE ZAIDI👇🏾

websites.
http://qurannasunnahtz.blogspot.com/

Facebook page.
https://m.facebook.com/Quran-na-sunnah-tz-100238655597178/?ref=bookmarks

Instagram.
http://www.instagram.com/qurannasunnah

Whatsapp.
https://chat.whatsapp.com/FfEoBrL4bmr0vbNQhNPKFE

telegram.
https://t.me/joinchat/3WW1yKOS9-MzN2Zk

YouTube
http://m.youtube.com/channel/UC1i0tOe8KZP7L0-rOisIb2A

 

 

No comments

Powered by Blogger.