SWALA YA MGOJWA SEHEMU 3
📚📚
📚
3⃣
➡� Kuna wagonjwa wa aina nyingi sana
Kuna wengine wanatiwa mipira na haja kubwa na ndogo zinawatoka hapo hapo
↩ Wengine hawezi kujizuia na haja kubwa au ndogo na kila dakika zinatoka
⬆�na katika sheria vitu hivyo ni najis na mtu haruhusiwi kuswali na najis , Sasa atafanyaje au ataswali vipi mtu huyo ??
↩ Wenye maradhi Hayo , mda wa swala ukifika tutawasafisha vizuri na kuwabadilisha mavazi yao na watatia udhu
Hata kama wakati anatia (au tunamtilisha ) udhu haja zikawa zinamtoka
⬆�ataendelea ivyo ivyo na udhu wake na ataswali hivyo hivyo na najis zake wala hapati zambi na swala yake ni sahihi
↩ Lakini atatakiwa kila unapoingia mda wa swala , atie udhu mwengine kisha aswali.
Allah anajua zaidi
*RAUDHWATUL ILM*
📞+97433799776
*Tambo*
QURAN NA SUNNAH TZ
WHATSAPP NO +255713849566
TEMBELEA KWENYE MITANDAO KWA MASOMO MENGINE ZAIDI👇🏾
websites.
http://qurannasunnahtz.blogspot.com/
Facebook page.
https://m.facebook.com/Quran-na-sunnah-tz-100238655597178/?ref=bookmarks
Instagram.
http://www.instagram.com/qurannasunnah
Whatsapp.
https://chat.whatsapp.com/FfEoBrL4bmr0vbNQhNPKFE
telegram.
https://t.me/joinchat/3WW1yKOS9-MzN2Zk
YouTube
http://m.youtube.com/channel/UC1i0tOe8KZP7L0-rOisIb2A
No comments