Header Ads

Header ADS

SWALA YA MGOJWA SEHEMU YA 2

 📚📚

📚

2⃣


Watu Wengi Wakiwa wagonjwa huwa hawaswali , na Hata Ukienda spitali basi spitali nzima kama utawakuta wagonjwa wanaoswali ni wawili au watatu tu waliobakia wote hawana Habari na swala 


Chakusikitisha zaidi Hata wale wanaokaa na wagonjwa wanashindwa kuwahimiza wagonjwa Wao kuswali 


↩ kwa ufupi ugonjwa sio udhuru wa kuacha swala , hivyo Hata mgonjwa nae anatakiwa aswali 


➡� ama Kuhusu kutia udhu , atatia udhu mwenyewe na kama hawezi mtamsaidia kumtilisha udhu 


Ama kama mtu hawezi kutumia maji kutokana na ugonjwa wake basi atatayamam ao Nyie mlokuwa na mgonjwa mtamtayammamisha mgonjwa wenu 


Allah anasema : 


📙 وَإِنْ كُنْتُمْ مَرْضَىٰ أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ أَوْ جَاءَ أَحَدٌ مِنْكُمْ مِنَ الْغَائِطِ أَوْ لَامَسْتُمُ النِّسَاءَ فَلَمْ تَجِدُوا مَاءً فَتَيَمَّمُوا صَعِيدًا طَيِّبًا 


. Na mkiwa wagonjwa au mmo safarini, au mmoja wenu ametoka chooni au mmewagusa wanawake, na hamkupata maji, basi tayamamuni vumbi lilio safi 📙


{ سورة المائدة : ٦ } 


↩ Kwaio kama anaweza kusimama ataswali kwa kusimama , kama hawezi atakaa kitako 


Na Hayo yote yakishindikana atalala ubavu wake wakulia huku ameelekea kibla au wakushoto 


Na kama hivyo hawezi kutokana na maradhi yake , atalala huku miguu yake mumeielekeza kibla , kama hawezi ataelekeza vyovyote vile ambapo ni rahisi kwake.



QURAN NA SUNNAH TZ 

WHATSAPP NO +255713849566 


TEMBELEA KWENYE MITANDAO KWA MASOMO MENGINE ZAIDI👇🏾


websites.

http://qurannasunnahtz.blogspot.com/


Facebook page.

https://m.facebook.com/Quran-na-sunnah-tz-100238655597178/?ref=bookmarks


Instagram.

http://www.instagram.com/qurannasunnah


Whatsapp.

https://chat.whatsapp.com/FfEoBrL4bmr0vbNQhNPKFE


telegram.

https://t.me/joinchat/3WW1yKOS9-MzN2Zk


YouTube

http://m.youtube.com/channel/UC1i0tOe8KZP7L0-rOisIb2A



 

No comments

Powered by Blogger.