Header Ads

Header ADS

SWALAH SEHEMU YA 19

 *Assalaam A'laykum Wa Rahmatul LLAAHI Wabarakaatuh*



                *KISOMO CHAKE*

                *(صلى الله عليه وآله وسلم)*

          *KATIKA SWALAH YA WITR*

💠 *SIFA YA SWALAH YA MTUME* 💠

    

SEHEMU YA KUMI NA TISA

============♦===========. 

          *SWALAH YA WITR*

 

Alikuwa   (صلى الله عليه وآله وسلم)akisoma katika Rakaa ya mwanzo:

 

سَبِّحِ اسْمَ رَبِّكَ الْأَعْلَى


*((Litakase Jina la Mola wako Aliye juu kabisa))* [Al-A'laa 87: 19],


na katika Rakaa ya pili:

 

*قُلْ يَا أَيُّهَا الْكَافِرُونَ*


*((Sema: Enyi makafiri))* [Al-Kaafiruun 109: 6],


na katika Rakaa ya tatu.

 

*((قُلْ هُوَ اللَّهُ أَحَدٌ))*


*((Sema: Yeye ALLAAH ni wa Pekee))* [Al-Ikhlaasw 112: 4].

 

Mara nyingine alikuwa (صلى الله عليه وآله وسلم) akiongeza katika Rakaa ya mwisho kwa kusoma:

 

*قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ الْفَلَقِ*

 

*((Sema: Najikinga kwa Mola wa mapambazuko))* [Al-Falaq 113: 5],


na

 

*قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ النَّاسِ*


*((Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wana Aadam))* [An-Naas 114: 6] ([2]).

 

Na mara nyingine alisoma katika Rakaa ya tatu Aayah mia kutoka katika Suratun-Nisaa [4: 176] 

 

Ama zile Rakaa mbili baada ya Witr, alikuwa kaisoma ndani yake:

 

*إِذَا زُلْزِلَتِ الْأَرْضُ زِلْزَالَهَا*


*((Itakapotetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake)*) [Az-Zilzalah 99: 8], na

 

 

*قُلْ يَا أَيُّهَا الْكَافِرُونَ*


*((Sema: Enyi makafiri))* [Al-Kaafiruun 109: 6]

 

 

               *KISOMO CHAKE*

                *(صلى الله عليه وآله وسلم)*

       *KATIKA SWALAH YA IJUMAA*

============♦=============

           *SWALAH YA IJUMAA*

 

 

Alikuwa  (صلى الله عليه وآله وسلم)akisoma mara nyingine katika Rakaa ya mwanzo Suratul-Jumu'aa [62: 11]:

 

 *يُسَبِّحُ لِلَّـهِ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ الْمَلِكِ الْقُدُّوسِ الْعَزِيزِ الْحَكِيمِ﴿١﴾*


*((Vilivyomo katika mbingu na vilivyomo katika ardhi vinamtukuza ALLAAH , Mfalme, Mtakatifu, Mwenye nguvu, Mwenye hikmah)),* 


na katika Rakaa ya pili:

 

*إِذَا جَاءكَ الْمُنَافِقُونَ*


*((Wanapokujia wanaafiki))* [63: 11]([ Muslim na Abu Daawuud ]),

 

na mara nyingine - badala yake) - alikuwa akisoma:

 

*هَلْ أَتَاكَ حَدِيثُ الْغَاشِيَةِ*


*((Je! Imekufikia khabari ya msiba wa kufudikiza?))* [88: 26],

na mara nyingine akisoma:

 

*سَبِّحِ اسْمَ رَبِّكَ الْأَعْلَى*


*((Litakase Jina la Mola wako Aliye juu kabisa)) [Al-A'laa 87: 19]*, 


katika Rakaa ya mwanzo na:

 

 

*هَلْ أَتَاكَ حَدِيثُ الْغَاشِيَةِ*


*((Je! Imekufikia khabari ya msiba wa kufudikiza?))* [88: 26],


katika Rakaa ya pili([ Muslim na Abu Daawuud ]).

 

In shaa ALLAAH tutaendelea tena biidhiniLLAAHI



https://t.me/joinchat/3WW1yKOS9-MzN2Zk



QURAN NA SUNNAH TZ 

WHATSAPP NO +255713849566 


TEMBELEA KWENYE MITANDAO KWA MASOMO MENGINE ZAIDI👇🏾


websites.

http://qurannasunnahtz.blogspot.com/


Facebook page.

https://m.facebook.com/Quran-na-sunnah-tz-100238655597178/?ref=bookmarks


Instagram.

http://www.instagram.com/qurannasunnah


Whatsapp.

https://chat.whatsapp.com/FfEoBrL4bmr0vbNQhNPKFE


telegram.

https://t.me/joinchat/3WW1yKOS9-MzN2Zk


YouTube

http://m.youtube.com/channel/UC1i0tOe8KZP7L0-rOisIb2A



 

No comments

Powered by Blogger.