SWALAH SEHEMU YA 21
*Assalaam Alaykum Wa Rahmatul LLAAHI Wabarakaatuh*
Tunaendelea na darasa letu Swalah tuone ni Jinsi gani Kisheria unaweza kumsahihisha Imaamu
*KUMSAHIHISHA IMAAM*
*NA*
💠 *KUJIKINGA NA SHAYTWAAN*💠
SEHEMU YA 21
=============♦=============
*KUMSAHIHISHA IMAAM*
Ametoa (صلى الله عليه وآله وسلم) mfano katika kumsahihisha Imaam anapobabaika au anapochanganyikiwa na kisomo chake. Mara moja aliswali, akasoma ndani yake kisomo, akasahau. Alipomaliza alimwambia Ubayy: *((Uliswali na sisi?))*. Alijibu: *"Ndio".* Akasema: *((Hivyo nini kilichokuzuia [kunisahihisha]?))* ([ Abu Daawuud, Ibn Hibbaan, Atw-Twabaraaniy, Ibn 'Asaakir (2/296/2) na Adhw-Dhwiyaa katika Al-Mukhtaarah kwa isnaad Swahiyh.]).
*KUJIKINGA NA SHAYTWAAN*
*NA*
*KUTEMA MATE KIDOGO*
*WAKATI WA SWALAH*
*ILI*
*KUONDOSHA WASIWASI*
=============♦=============
'Uthmaan bin Abil-Aasw (رضي الله عنه) alimwambia: *"Ewe Mjumbe wa ALLAAH ! Shaytwaan ameingia baina yangu na baina ya Swalah yangu na kisomo changu, ananibabaisha katika kisomo changu!"* Mjumbe wa ALLAAH (صلى الله عليه وآله وسلم) akasema: *((Huyo ni Shaytwaan anayeitwa Khinzab, hivyo utakapomuhisi jikinge kwa ALLAAH naye, na tema mate kidogo([ 2] "At-Tafl" ni mpulizo ikiwa na mate kidogo, hivyo ni zaidi ya kupuliza. [(An-Nihaayah).]) upande wa kushoto kwako mara tatu))*. Akasema: *"Nikafanya hivyo, na ALLAAH Akamuondoshelea mbali nami"*.([ Muslim na Ahmad ]).
In Shaa ALLAAH tutaendelea tena
https://t.me/joinchat/3WW1yKOS9-MzN2Zk
*+97433799776*
*Ungana nasi kupitia channel yetu mpya ya Telegram ili kupata darsa zoote za SWALAH*
⬇⬇
https://t.me/joinchat/AAAAAEiWeE_WKW4ORQxRzw
QURAN NA SUNNAH TZ
WHATSAPP NO +255713849566
TEMBELEA KWENYE MITANDAO KWA MASOMO MENGINE ZAIDI👇🏾
websites.
http://qurannasunnahtz.blogspot.com/
Facebook page.
https://m.facebook.com/Quran-na-sunnah-tz-100238655597178/?ref=bookmarks
Instagram.
http://www.instagram.com/qurannasunnah
Whatsapp.
https://chat.whatsapp.com/FfEoBrL4bmr0vbNQhNPKFE
telegram.
https://t.me/joinchat/3WW1yKOS9-MzN2Zk
YouTube
http://m.youtube.com/channel/UC1i0tOe8KZP7L0-rOisIb2A
No comments